Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 12:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Hekima iko kwa watu wazee,maarifa kwao walioishi muda mrefu.

13. Lakini hekima na uwezo ni vyake Mungu,yeye ana maarifa na ujuzi.

14. Akibomoa, hakuna awezaye kujenga upya;akimfunga mtu, hakuna awezaye kumfungua.

Kusoma sura kamili Yobu 12