Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 11:17-20 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Maisha yako yatangaa kuliko jua la adhuhuri,giza lake litabadilika kuwa mngao wa pambazuko.

18. Utakuwa na ujasiri maana lipo tumaini;utalindwa na kupumzika salama.

19. Utalala bila kuogopeshwa na mtu;watu wengi watakuomba msaada.

20. Lakini waovu macho yao yatafifia,njia zote za kutorokea zitawapotea;tumaini lao la mwisho ni kukata roho!”

Kusoma sura kamili Yobu 11