17. Maisha yako yatangaa kuliko jua la adhuhuri,giza lake litabadilika kuwa mngao wa pambazuko.
18. Utakuwa na ujasiri maana lipo tumaini;utalindwa na kupumzika salama.
19. Utalala bila kuogopeshwa na mtu;watu wengi watakuomba msaada.
20. Lakini waovu macho yao yatafifia,njia zote za kutorokea zitawapotea;tumaini lao la mwisho ni kukata roho!”