1. Kisha Sofari, Mnaamathi, akamjibu Yobu:
2. “Je, wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa?Je, mtu wa maneno mengi aonesha kuwa hana hatia?
3. Je, kuropoka kwako kutanyamazisha watu?Na kama ukidhihaki, je, hamna atakayekuaibisha?
4. Wewe wadai: ‘Ninachosema ni kweli,naam, sina lawama mbele ya Mungu.’