Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 6:27-30 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Yeremia, wewe nimekuweka kuwa mchunguzina mpimaji wa watu wangu,ili uchunguze na kuzijua njia zao.

28. Wote ni waasi wakaidi,ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine,wagumu kama shaba nyeusi au chuma;wote hutenda kwa ufisadi.

29. Mifuo inafukuta kwa nguvu,risasi inayeyukia humohumo motoni;ni bure kuendelea kuwatakasa watu wangu,waovu hawawezi kuondolewa uchafu wao.

30. Wataitwa ‘Takataka za fedha’,maana mimi Mwenyezi-Mungu nimewakataa.”

Kusoma sura kamili Yeremia 6