“Lakini wewe usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,usifadhaike, ee Israeli;maana, kutoka mbali nitakuokoa,nitakuja kuwaokoa wazawa wakokutoka nchi walimohamishwa.Yakobo utarudi na kutulia na kustarehe,wala hakuna yeyote atakayekutia hofu.