Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 46:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawatia mikononi mwa wale wanaotaka kuyaangamiza maisha yao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babuloni na maofisa wake. Baadaye, nchi ya Misri itakaliwa na watu kama ilivyokuwa hapo zamani. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 46

Mtazamo Yeremia 46:26 katika mazingira