Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 41:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwezi wa saba, Ishmaeli mwana wa Nethania, mjukuu wa Elishama, wa ukoo wa kifalme, mmoja wa maofisa wakuu wa mfalme, alifika Mizpa kwa Gedalia akiandamana na watu kumi. Wakati walipokuwa wanakula chakula huko Mizpa,

Kusoma sura kamili Yeremia 41

Mtazamo Yeremia 41:1 katika mazingira