Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 39:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini jeshi la Wakaldayo liliwafuatia na kumteka Sedekia katika tambarare za Yeriko. Baada ya kumchukua walimfikisha kwa Nebukadneza, mfalme wa Babuloni huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, naye akamhukumu.

Kusoma sura kamili Yeremia 39

Mtazamo Yeremia 39:5 katika mazingira