Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 37:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mfalme Sedekia akatoa amri Yeremia awekwe katika ukumbi wa walinzi akawa anapewa mkate kila siku kutoka kwa waoka mkate mpaka mikate ilipotoweka kabisa huko mjini. Basi, Yeremia alibaki katika ukumbi wa walinzi.

Kusoma sura kamili Yeremia 37

Mtazamo Yeremia 37:21 katika mazingira