Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 36:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikawa, mara baada ya Yehudi kusoma safu tatu au nne hivi za hiyo hati ndefu, mfalme alizikata safu hizo kwa kisu na kuzitupa katika moto wa makaa. Aliendelea kufanya hivyo mpaka hati yote ikateketea.

Kusoma sura kamili Yeremia 36

Mtazamo Yeremia 36:23 katika mazingira