Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 36:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mfalme alimtuma Yehudi aende kuleta ile hati. Yehudi aliichukua kutoka chumbani mwa katibu Elishama, akamsomea mfalme na wakuu wote waliokuwa wamesimama karibu na mfalme.

Kusoma sura kamili Yeremia 36

Mtazamo Yeremia 36:21 katika mazingira