Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 34:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, pamoja na jeshi lake lote na falme zote za dunia zilizokuwa chini yake, kadhalika na watu wote walipokuwa wakiushambulia mji wa Yerusalemu na miji mingine yote ya kandokando yake:

Kusoma sura kamili Yeremia 34

Mtazamo Yeremia 34:1 katika mazingira