Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 29:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitafanya hivyo kwa sababu hamkusikiliza maneno yangu niliyowaambia kila mara kwa njia ya watumishi wangu, manabii, nanyi mkakataa kusikiliza. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 29

Mtazamo Yeremia 29:19 katika mazingira