Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 26:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye mfalme Yehoyakimu pamoja na mashujaa wake na wakuu wote waliposikia mambo aliyosema Uria, mfalme alitaka kumuua. Lakini Uria alipopata habari, alishikwa na hofu, akatoroka na kwenda Misri.

Kusoma sura kamili Yeremia 26

Mtazamo Yeremia 26:21 katika mazingira