Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 19:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Utasema hivi: Sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu enyi wafalme wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu. Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: Kweli ninaleta maafa mabaya mahali hapa, hata kila mmoja atakayesikia habari zake, atapigwa na bumbuazi.

Kusoma sura kamili Yeremia 19

Mtazamo Yeremia 19:3 katika mazingira