Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 19:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, Yeremia aliondoka Tofethi, mahali ambako Mwenyezi-Mungu alimtuma aende kutoa unabii, akaenda na kusimama katika ukumbi wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, akawatangazia watu wote akisema:

Kusoma sura kamili Yeremia 19

Mtazamo Yeremia 19:14 katika mazingira