Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 19:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nyumba za Yerusalemu na ikulu za wafalme wa Yuda, naam, nyumba zote ambazo juu ya paa zake watu walifukiza ubani kwa sayari za mbinguni, na kumiminia miungu mingine tambiko za divai, zote zitatiwa unajisi kama Tofethi.”

Kusoma sura kamili Yeremia 19

Mtazamo Yeremia 19:13 katika mazingira