Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 14:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame:

2. “Watu wa Yuda wanaomboleza,na malango yao yanalegea.Watu wake wanaomboleza udongonina kilio cha Yerusalemu kinapanda juu.

3. Wakuu wake wanawatuma watumishi wao maji;watumishi wanakwenda visimani,lakini maji hawapati;wanarudi na vyombo vitupu.Kwa aibu na fadhaa wanafunika vichwa vyao.

4. Wakulima wanahuzunika na kufunika vichwa vyaokwa kuona jinsi ardhi ilivyonyauka.

5. Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga,kwa sababu hakuna nyasi.

Kusoma sura kamili Yeremia 14