Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 14:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame:

2. “Watu wa Yuda wanaomboleza,na malango yao yanalegea.Watu wake wanaomboleza udongonina kilio cha Yerusalemu kinapanda juu.

Kusoma sura kamili Yeremia 14