Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 20:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Benyamini wakafikiri, “Tumewapiga kama nyakati zilizopita.” Lakini Waisraeli wakasema, “Sisi tukimbie ili tuwavute mbali na mji hadi kwenye njia kuu.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:32 katika mazingira