Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 20:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha watu wa kabila la Benyamini walipotoka mjini kuanza kupigana na Waisraeli, walivutwa kutoka nje ya mji. Ilitokea tena kama walivyofanya nyakati za hapo awali wakawaua baadhi ya watu wa Israeli kwenye njia kuu zielekeazo miji ya Betheli na Gibea, mpaka mbugani. Waliua Waisraeli wapatao thelathini.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:31 katika mazingira