Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo Mlawi na suria wake pamoja na mtumishi wake walipoinuka kwenda zao, baba mkwe wake akamwambia huyo Mlawi, “Sasa mchana umekwisha na jioni imekaribia. Ulale hapa, na kufurahi. Kesho asubuhi utaamka mapema kuanza safari yako ya kurudi nyumbani.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:9 katika mazingira