Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya tano huyo mtu aliamka asubuhi, akitaka kuondoka. Lakini baba yake yule mwanamke akamwambia, “Kwanza upate nguvu kwa kula, ungoje alasiri, halafu uondoke.” Basi wote wawili wakala pamoja.

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:8 katika mazingira