Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akamjibu, “Tumetoka Bethlehemu nchini Yuda na tunaelekea sehemu za mbali za eneo la milima ya Efraimu. Huko ndiko ninakoishi na sasa ninarudi safarini huko Bethlehemu katika Yuda na kurejea nyumbani; hakuna mtu hapa aliyetukaribisha nyumbani kwake.

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:18 katika mazingira