Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Mika akasema, “Nyinyi mmechukua miungu yangu niliyojitengenezea, mkamchukua na kuhani wangu, mkaniacha bila chochote. Mnawezaje basi kuniuliza nina shida gani?”

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:24 katika mazingira