Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 16:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walimkamata, wakamngoa macho, wakampeleka Gaza, wakamfunga kwa pingu za shaba, na kumlazimisha kufanya kazi ya kusaga unga huko gerezani.

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:21 katika mazingira