Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 15:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walipotaka kujua aliyefanya hayo, waliambiwa, “Ni huyo Samsoni, mkwewe Mtimna, amefanya hivyo kwa sababu huyo baba mkwe wake amemchukua mke wake na kumwoza kwa kijana mmoja aliyekuwa mdhamini wake mwenyewe Samsoni katika harusi.” Basi Wafilisti wakaenda kumchoma moto yule mwanamke pamoja na baba yake.

Kusoma sura kamili Waamuzi 15

Mtazamo Waamuzi 15:6 katika mazingira