Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 15:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipofika Lehi, Wafilisti walimwendea mbio huku wakipiga kelele. Ghafla roho ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Samsoni kwa nguvu na zile kamba walizomfunga mikononi mwake zikakatika kama kitani kilichoshika moto, navyo vifungo vikaanguka chini.

Kusoma sura kamili Waamuzi 15

Mtazamo Waamuzi 15:14 katika mazingira