Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 15:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao wakamwambia, “Sisi hatutakuua ila tutakufunga tu na kukutia mikononi mwao.” Basi, wakamfunga kwa kamba mbili mpya na kumtoa humo pangoni.

Kusoma sura kamili Waamuzi 15

Mtazamo Waamuzi 15:13 katika mazingira