Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo roho ya Mwenyezi-Mungu ikamjia Samsoni kwa nguvu, naye akaenda mjini Ashkeloni, akawaua watu thelathini, kisha akachukua mavazi yao ya sikukuu, akawapa wale waliotegua kitendawili chake. Halafu akaondoka, akaenda nyumbani kwa wazazi wake akiwa na hasira kali.

Kusoma sura kamili Waamuzi 14

Mtazamo Waamuzi 14:19 katika mazingira