Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 14:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo ya saba, kabla ya jua kutua, wakamwambia Samsoni,“Ni kitu gani kitamu kuliko asali?Ni nani mwenye nguvu kuliko simba?”Samsoni akawajibu, “Kama hamngejishughulisha na mtamba wangu hamngeweza kukitegua kitendawili changu.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 14

Mtazamo Waamuzi 14:18 katika mazingira