Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 13:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye akawaacha watawaliwe na Wafilisti kwa miaka arubaini.

2. Kulikuwa na mtu mmoja huko Sora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Mke wake alikuwa tasa.

Kusoma sura kamili Waamuzi 13