Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 13:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye akawaacha watawaliwe na Wafilisti kwa miaka arubaini.

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:1 katika mazingira