Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Gileadi alikuwa pia na wana wengine kwa mke wake wa halali. Watoto wa mke huyo walipokuwa wakubwa, walimfukuza Yeftha kutoka nyumbani, wakamwambia, “Wewe huna haki ya kupata urithi kutoka kwa baba yetu, maana wewe ni mtoto wa mwanamke mwingine.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 11

Mtazamo Waamuzi 11:2 katika mazingira