Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 11:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko Gileadi kulikuwa na mpiganaji hodari aitwaye Yeftha, mwana wa mama mmoja malaya, na baba yake aliitwa Gileadi.

Kusoma sura kamili Waamuzi 11

Mtazamo Waamuzi 11:1 katika mazingira