Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 8:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila siku, tangu siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra aliwasomea watu kitabu cha sheria ya Mungu. Waliadhimisha sikukuu hiyo kwa muda wa siku saba, na siku ya nane wakafanya mkutano mkubwa wa kufunga sikukuu, kama ilivyoagizwa.

Kusoma sura kamili Nehemia 8

Mtazamo Nehemia 8:18 katika mazingira