Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:51-60 Biblia Habari Njema (BHN)

51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;

52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;

53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;

54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;

55. wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema;

56. wa Nezia na ukoo wa Hatifa.

57. Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

58. wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli;

59. ukoo wa Shefatia, wa Hatili, wa Pokereth-hasebaimu na ukoo wa Amoni.

60. Basi wahudumu wote wa hekalu na wazawa wa watumishi wa Solomoni, waliorudi kutoka uhamishoni, walikuwa 392.

Kusoma sura kamili Nehemia 7