Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:51-57 Biblia Habari Njema (BHN)

51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;

52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;

53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;

54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;

55. wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema;

56. wa Nezia na ukoo wa Hatifa.

57. Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;

Kusoma sura kamili Nehemia 7