45. Walinzi: Wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai, walikuwa 138.
46. Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;
47. wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni;
48. wa Lebana, wa Hagaba, wa Shalmai;
49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;
50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;
51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;
52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;
53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;
54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;
55. wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema;
56. wa Nezia na ukoo wa Hatifa.
57. Koo za wazawa wa watumishi wa mfalme Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Sotai, wa Soferethi, wa Perida;
58. wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli;
59. ukoo wa Shefatia, wa Hatili, wa Pokereth-hasebaimu na ukoo wa Amoni.
60. Basi wahudumu wote wa hekalu na wazawa wa watumishi wa Solomoni, waliorudi kutoka uhamishoni, walikuwa 392.