43. Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.
44. Waimbaji: Wazawa wa Asafu walikuwa 148.
45. Walinzi: Wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai, walikuwa 138.
46. Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;
47. wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni;
48. wa Lebana, wa Hagaba, wa Shalmai;
49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;
50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;