Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:43-50 Biblia Habari Njema (BHN)

43. Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

44. Waimbaji: Wazawa wa Asafu walikuwa 148.

45. Walinzi: Wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai, walikuwa 138.

46. Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

47. wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni;

48. wa Lebana, wa Hagaba, wa Shalmai;

49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;

50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;

Kusoma sura kamili Nehemia 7