Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:38-54 Biblia Habari Njema (BHN)

38. wa mji wa Senaa: 3,930.

39. Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 973;

40. wa ukoo wa Imeri: 1,052;

41. wa ukoo wa Pashuri: 1247;

42. wa ukoo wa Harimu: 1017.

43. Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

44. Waimbaji: Wazawa wa Asafu walikuwa 148.

45. Walinzi: Wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai, walikuwa 138.

46. Koo za wahudumu hekaluni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Ziha, wa Hasufa, wa Tabaothi;

47. wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni;

48. wa Lebana, wa Hagaba, wa Shalmai;

49. wa Hanani, wa Gideli, wa Gahari;

50. wa Reaya, wa Resini, wa Nekoda;

51. wa Gazamu, wa Uza, wa Pasea;

52. wa Besai, wa Meunimu, wa Nefushesimu;

53. wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri;

54. wa Baslithi, wa Mehida, wa Harsha;

Kusoma sura kamili Nehemia 7