36. wa mji wa Yeriko: 345;
37. wa miji ya Lodi, Hadidi na Ono: 721;
38. wa mji wa Senaa: 3,930.
39. Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 973;
40. wa ukoo wa Imeri: 1,052;
41. wa ukoo wa Pashuri: 1247;
42. wa ukoo wa Harimu: 1017.
43. Walawi wa ukoo wa Yeshua, yaani Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.
44. Waimbaji: Wazawa wa Asafu walikuwa 148.