Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:14-30 Biblia Habari Njema (BHN)

14. wa ukoo wa Zakai: 760;

15. wa ukoo wa Binui: 648;

16. wa ukoo wa Bebai: 624;

17. wa ukoo wa Azgadi: 2,322;

18. wa ukoo wa Adonikamu: 667;

19. wa ukoo wa Bigwai: 2,067;

20. wa ukoo wa Adini: 655;

21. wa ukoo wa Ateri (ambao pia unaitwa Hezekia): 98;

22. wa ukoo wa Hashumu: 328;

23. wa ukoo wa Bezai: 324;

24. wa ukoo wa Harifu: 112;

25. wa ukoo wa Gibeoni: 95;

26. Watu wa miji ifuatayo pia walirudi: Wa mji wa Bethlehemu na Netofa: 188;

27. wa mji wa Anathothi: 128;

28. wa mji wa Beth-azmawethi: 42;

29. wa miji ya Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi: 743;

30. wa miji ya Rama na Geba: 621;

Kusoma sura kamili Nehemia 7