Agano la Kale

Agano Jipya

Nahumu 3:18-19 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Ewe mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wamelala,waheshimiwa wako wamesinzia.Watu wako wametawanyika milimani,wala hakuna yeyote wa kuwakusanya.

19. Hakuna wa kuyapa nafuu majeraha yako,vidonda vyako ni vya kifo.Wote wanaosikia habari zako wanashangilia.Maana ni nani aliyeuepa ukatili wako usio na kikomo?

Kusoma sura kamili Nahumu 3