Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 46:8-19 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Wazawa wa Israeli ambao walikwenda Misri pamoja naye walikuwa Reubeni, mzaliwa wake wa kwanza,

9. pamoja na wana wa Reubeni: Henoki, Palu, Hesroni na Karmi.

10. Simeoni na wanawe: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli, aliyezaliwa na mwanamke Mkanaani.

11. Lawi na wanawe: Gershoni, Kohathi na Merari.

12. Yuda na wanawe: Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani). Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.

13. Isakari na wanawe: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

14. Zebuluni na wanawe: Seredi, Eloni na Yaleeli.

15. Hao ndio wana ambao Lea alimzalia Yakobo kule Padan-aramu, pamoja na Dina binti yake. Jumla ya wanawe, binti zake na wajukuu wake walikuwa watu thelathini na watatu.

16. Gadi na wanawe: Sifioni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

17. Asheri na wanawe: Imna, Ishva, Ishvi, Beria na Sera, dada yao. Beria na wanawe: Heberi na Malkieli.

18. Hawa kumi na sita ni watoto na wajukuu wa Yakobo na Zilpa, mjakazi ambaye Labani alimpa Lea, binti yake.

19. Raheli alimzalia Yakobo wana wawili: Yosefu na Benyamini.

Kusoma sura kamili Mwanzo 46