Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 42:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu akatoa amri mifuko yao ijazwe nafaka, kila mmoja wao arudishiwe fedha yake katika gunia lake, na wapewe chakula cha njiani. Wakafanyiwa mambo hayo yote.

Kusoma sura kamili Mwanzo 42

Mtazamo Mwanzo 42:25 katika mazingira