Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 31:20-23 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha.

21. Basi, Yakobo akachukua mali yake yote, akatoroka. Baada ya kuvuka mto Eufrate, alielekea Gileadi, nchi ya milima.

22. Siku tatu baadaye, Labani alijulishwa kwamba Yakobo amemtoroka.

23. Basi, Labani akawachukua ndugu zake, akamfuata Yakobo kwa muda wa siku saba, akamkuta milimani, nchini Gileadi.

Kusoma sura kamili Mwanzo 31