Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 31:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo Labani alikuwa amekwenda kuwakata manyoya wanyama wake. Hivyo Raheli alipata nafasi ya kuiba vinyago vya miungu ya baba yake.

Kusoma sura kamili Mwanzo 31

Mtazamo Mwanzo 31:19 katika mazingira