Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 23:18-20 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika penye lango la mji.

19. Baada ya hayo, Abrahamu akamzika Sara mkewe katika pango hilo lililokuwamo katika shamba la Makpela, mashariki ya Mamre (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani.

20. Shamba na pango lililokuwamo humo lilithibitishwa na Wahiti liwe mali yake Abrahamu apate kuzika humo wafu wake.

Kusoma sura kamili Mwanzo 23