Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 10:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya gharika, watoto wa Noa, Shemu, Hamu na Yafethi, walipata watoto wa kiume na wa kike. Hii ndiyo orodha ya wazawa wao:

2. Watoto wa kiume wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

3. Watoto wa kiume wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.

Kusoma sura kamili Mwanzo 10